Director Kenny Aibuka Kivyake vyake Bila WCB, Marioo Afunguka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




@director_kenny amedhihirisha kuwa hata bila WCB, Maisha yanaweza yakaenda na kuwa sawa. Beer tamu ya @marioo_tz inakuwa ni project ya kwanza kwa Director Kenny toka ijulikane rasmi kuwa hafanyi kazi na WCB.

Mapokezi yamekuwa makubwa,ukiachana na uzuri wa audio lakini pia video imetendewa haki na Director huyo.,hadi sasa imesimama no. 1 kwenye trending huko YouTube ikiwa na jumla ya views 680k+ ndani ya siku mbili.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram,Kenny ameshea ngoma hiyo kukaa namba 1 on trending huku Marioo akitoa maoni kuwa mengi makubwa yanakuja kati yao,huu ni mwanzo tu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad