Harmonize Akoshwa na Video ya Ngono ya Tiwa Savage, Amwagia Sifa Hizi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Wakiwa nchini Marekani kuendelea na ziara yao ya kimuziki Msanii @harmonize_tz na Dj wake @djsevenworldwide kwa pamoja wameonekana kutia neno kuhusu mwanamuziki kutoka Nigeria @tiwasavage .

Wakitumia insta story zao katika muda unaofanana wameonekana kumzungumzia msanii huyo ambapo #Harmonize aliandika ujumbe wenye tafsiri ya “mzuri sana tiwa” huku Dj wake nae pia akiandika ujumbe unaotafsrika “nimependa mtindo wa tiwa savage” ujumbe ambao wameshare katika muda mmoja, saa 6 ziliyopita.

Hivi karibuni msanii huyo mkubwa kutoka Nigeria #TiwaSavage aliweka wazi kuvuja kwa Video yake ya ngono, jambo lililofanya kuwa msanii anayezungumziwa sana kwa sasa.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad