JE, ni Kweli Iphone 13 Max za Tanzania ni Feki?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Baada ya kuwepo kwa sintofahamu kuhusu iPhone 13 Pro Max ambazo zinapatikana nchini, zitakuwa ni feki kutokana na uhaba wa iPhone mpya katika stores za Apple nchini Marekani.

Mbobezi wa masuala ya teknolojia Bw. Apollo kupitia ukurasa wake wa instagram, amefafanua kwa undani maswali ya watu wengi ambao wanahisi kwa sababu kuna uhaba wa iPhone USA, hivyo iPhone zinazotoka katika masoko mengi ya Apple kama vile Dubai, China, n.k na kupatikana Tanzania ni feki kwa sababu original iPhone zinatoka Marekani tu.

"iPhone zote duniani zitabaki kuwa Original hata ikiwepo utofauti katika antenna, Shutter Sound ya Kamera, Logo ya pembeni, na SIM Card mbili" - ameeleza.












----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad