AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Korea Kaskazini (KCNA), Nchi hiyo imeamua kufungua laini zote za Mawasiliano ya Simu na Korea Kusini kuanzia leo, Oktoba 4
Ripoti zimesema uamuzi huo ulitangazwa baada ya ahadi iliyotolewa na Kiongozi Kim Jong-Un ikiwa kama juhudi za kutimiza matarajio na hamu ya Wananchi wote ambao wanataka kuona uhusiano kati ya Kaskazini na Kusini unarejeshwa
Uhusiano kati ya Nchi hizo mbili hauko vizuri tangu mkutano kati ya Korea Kaskazini na Marekani kutofikia makubaliano mapema Mwaka 2019.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK