AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mama wa miaka 23 Miss Mercy Okon kutoka nchini Nigeria amemuuza mtoto wake mwenye miezi mitatu kwa pesa ya Nigeria N 150,000 sawa na Tsh 841,036.
Mama huyo anasema amefanya kitendo hicho kwa ajili ya kujisaidia kulipa kodi ya nyumba, kukabiliana na bili zingine kwa kuwa yeye ni maskini.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK