Mwijaku "Diamond Platnumz Amepotea Kimuziki"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwijaku anaamini Diamond platnumz,amepotea kimuziki, hii ni baada ya nyimbo zake kushindwa kuhit, Kama zilivo kua zinahit apo hawali..

DC, mwijaku anadai kwamba Harmonize,ndie msanii mkubwa Kwa sasa Tanzania,na ndiye anaefanya vizur katika game..

Mwijaku ,ameandika kwamba team nzima ya WCB ,inatakiwa imuombe poo mmakonde Kwani ameshawaacha mbali, ukiangalia yeye ni jeshi la mtu mmoja..

Kila nyimbo anayo itoa Harmonize inahit 🔥 Tofauti na msanii yeyote wa WCB akitoa nyimboo..

Mwijaku anadai kua team ,mwambino baada ya kuona wamepotea kimuziki ,wameamua kucheza kamali na kutumia madawa ili kujifariji.😂..

Je mwijaku Yuko sahiihii Kwa haya???

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad