Vita Kitaa Nani Mkali kati ya Rayvanny na Harmonize

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baadhi ya mashabiki wanasema Rayvanny,anatembelea upepo wa WCB, na nyota ya diamond platnumz,Ivo akiondoka katika Lebo ya WCB ,ndo utakua mwisho wake!!

Pia wanasema Harmonize,yeye anatembelea nyota yake yeye mwenyewe na anaweza kujisimamia bila mtu kumboost ,na bila msaada wa yeyote ,ktk swala zima la kumfanyia promo.

Mashabiki wengine wanaamini Rayvanny anajua kuimba kuliko Harmonize,na ndio maan rayvanny amekua akifanya vizur kwenye platform zote za muziki.

Lakini pia mashabiki wengine wanaamini Harmonize Kwa sasa ndie msanii mkubwa Tanzania,mpaka imefikia hatua wanamlinganisha na Diamond platnumz.

Tumalize ubishi huu, !!

NANI MKALI KWA UPANDE WAKO?.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad