AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapper @naytrueboytz ametumia ukurasa wake wa Instagram kupitia insta story yake , kutia neno kuhusu album ya @officialalikiba kusambaa mitaani kwa mtindo wa Ku burn CD, na kueleza kuwa kama Album hiyo ingenunuliwa katika njia sahihi basi ingekua na Mauzo makubwa sana.
Tayari wasimamizi wa kazi za wa wasanii tanzania COSOTA wamekemea vikali tabia hiyo na kuweka wazi adhabu kwa watakaokiuka Sheria ya hakimiliki kwa usambazaji wa kazi za wasanii bila idhini yao watatakiwa kulipa fain isiyopungua million 20 ama kifungo cha miaka mi 3-5 jela au vyote kwa pamoja.
✍🏾@keviiiy.iam
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK