Nyota Simba Aipa Ubingwa Yanga SC

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





NYOTA wa zamani wa klabu ya Simba raia wa Ghana Nicholas Gyan amesema kuwa Yanga ya msimu huu ni bora kuliko Yanga zote za misimu minne iliyopita na ina nafasi ya kutwaa ubingwa.

Gyan alisema Simba hawatakiwi kubweteka badala yake wawe makini kwa kuwa mwenendo wa Yanga ya msimu huu unaonekana bora sana na kila mchezo wanaocheza wanaonekana kubadilika na kuwa bora zaidi.

Gyan ambaye kwa sasa yupo na kikosi cha DTB FC kinachoshiriki Ligi Daraja la Kwanza, aliwahi kutwaa mataji mawili akiwa na Simba, msimu wa 2017-18 na 2018-19 kisha akatemwa baada ya kukosa nafasi ya kudumu.

Akizungumza na Championi Jumatatu Gyan alisema: “Uwa natazama mechi ya Simba na Yanga kama ambavyo imekuwa desturi ya Watanzania wengi. Yanga wanaonekana kuwa wanahitaji kitu msimu huu.

“Na kwa namna ambavyo walivyo bora naona wanakwenda kufanya mambo makubwa sana, siyo Yanga ile ya misimu minne nyuma, hii iko bora zaidi na Simba wanatakiwa kuwa makini zaidi kwa kuwa mwisho wanaweza kutoka kapa.”

 

ISSA LIPONDA, Dar es Salaam

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad