Ole Sabaya na wenzake wawasilisha kusudio la kukata rufaa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wamewasilisha taarifa ya kusudio la kukata rufaa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo Alhamisi Oktoba 21, 2021 ya kupinga hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha Oktoba 15.

Katika kesi hiyo Sabaya na wenzake watatu wamehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la unyang’anyi wa kutumia silaha.

Wakili Moses Mahuna amesema baada ya kuwasilisha taarifa ya kusudio hilo la rufaa taratibu nyingine zinaendelea.

Hukumu hiyo ilitolewa na Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Mahakama ya Arusha, Odira Amworo baada ya kuridhika kuwa upande wa mashtaka umethibitisha mashtaka dhidi ya Sabaya na wenzake.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad