Shaffih Dauda Atoa ya Moyoni "Simba Hapa Wamechemka Vibaya"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mtangazaji Shaffih Dauda Afunguka Kuhusu wasemaji wapya wa Simba Waliotangazwa Jana:


"Simba hapa wamechemka, walishatoka huko na kufika mbali zaidi, hawakutakiwa kurudi tena nyuma.

Sikupendezwa na wahamasishaji kuzungumza mambo ya mtu binafsi! Kama wameamua kwende uelekeo huo basi watu wazungumze mambo yanayohusu mpira, sio kumzungumzia mtu tena kwa mambo yake binafsi haipendezi" Dauda
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad