Upanga wa miaka 900 wapatikana Israel

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 
Upanga unaoaminika kuwa wa mpiganaji wa zamani wa vita ya waasi takribani miaka 900 iliyopita umepatikana na mzama maji katika pwani iliyoko kaskazini mwa Israel.



Upanga huo wenye futi 3.3 uligunduliwa na Shlomi Katzin na kukabidhiwa na mamlaka.

Inadhaniwa kuwa upanga huo ambao ulikuwa baharini kwa muda mrefu umeonekana baada ya mchanga kuhama.

Mamlaka ya masuala ya kale nchini Israel (IAA) imesema upanga huo utakaposafishwa na kufanyiwa uchunguzi wa kina utawekwa katika maonesho ya umma.

“Upanga ambao umehifadhiwa katika hali nzuri , unavutia, ni uvumbuzi wa nadra na dhahiri kuwa ulikuwa wa shujaa wa vita,” alisema afisa wa kitengo cha uchunguzi cha IAA.

“Inafurahisha kukutana na kitu cha mtu kama hicho ambacho kinaturudisha miaka 900 iliyopita , wakati ambao silaha kubwa za kijeshi zilikuwa mapanga na visu”.

Wapiganaji waliopigana vita za kidini walifahamika kama ‘vita vya msalaba’ na vilihusisha kanisa katoliki.

Katika kampeni hizo, mashariki mwa bahari ya Mediterania wakilenga kugundua mji mtakatifu kutoka kwa utawala wa kiislamu.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad