Msolla, Mangungu Wajitosa Uenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mwenyekiti wa Yanga Dkt. Mshindo Msolla na Mwenyekiti wa Simba Murtaza Mangungu ni miongoni mwa majina yaliyopita katika mchujo wa awali kuwania nafasi ya Uenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu.

Jina lingine lililopenya katika mchujo huo ni Steven Mnguto ambaye anatetea nafasi hiyo kutoka Coastal Union ya Tanga.



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad