AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wimbo wa “Essence Remix” wa Wizkid akiwa na Tems na Justin Bieber umeingia katika Top 10 ya chat za Billboard Hot 100 na kuweka record ya kuwa wimbo wa kwanza wa Afrobeat kuingia katika Top 10 ya chat hizo.
Wimbo huu ukiwa na wiki 14 katika Billboard Hot 100 umepanda kwa nafasi moja kutoka nafasi ya 11 wiki iliyopita.
“Essence” imepata airplay ya Radio na TV mara million 48.9 wiki iliyopita kwa nchini Marekani, na streams million 11.2 katika digital platforms.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK