Bernard Morrison ni Mjanja, Alistahili Red Card

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



"Morisson ni mchezaji mjanja sana anajua ni namna gani ya kuitaftia timu matokeo kwa kutumia ujanja wake kuitaftia timu yake matokeo lakini siku ya jana alimpiga mchezaji wa Namungo kiwiko alistahili kupewa kadi nyekundu".

"Ila hata upande wa Aishi Manula alimfanyia faulo Jacob Massawe lakini alifika akiwa na kadi ila hakumuonyesha pia naona makame anastahili kupewa adhabu nyingine nje ya kadi nyekundu nadhani kamati ya masaa 72 inahitaji adhabu ambayo itafanya kila mchezaji atajali afya ya wachezaji wenzie."


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad