Edo Kumwembe "Yanga Haibutui butui Uwanjani, Simba Imekuwa ya Kawaida Sana"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



“Wachezaji wawili wanaweza kubadilisha tune nzima ya timu, Kumbe inawezekana wakati mwingine, kuna wachezaji wawili wameondoka Simba ghafla, simba inaanza kuwa ya kawaida sana alafu kuna wachezaji wawili wameingia Yanga na Yanga inaonekana ya tofauti (Yanick Bangala na Khalid Aucho).

“Hii composer ya Yanga Thabani Kamusoko aliwahi kuileta Yanga, kidogo hapo katika ikaondoka lakini Aucho na Bangala wameirejesha tena, ( Controlling, Rhythm of the match ) achana na wengine na kina Moloko pale kati kwenye kiungo Yanga watasumbua watu wengi sana.

“Yanga wanamiliki mpira, kutokuwa na haraka kufanya buildup za uhakika kutoka nyuma, walinzi wa kati hawabutui, kipa habutui na ukifika kwa kina Bangala na Aucho unaona kabisa Transition ya timu,” Mchambuzi Sport Arena, @edokumwembe

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad