Maua Sama "Mpenzi Mzungu Alitaka Niache Muziki niwe Wife Material"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Kipindi cha nyuma habari zilikuwa nyingi kuhusu Maua Sama kutoka na Mzungu,na ikafika hatua hadi wakavalishana pete za uchumba na mzungu akashuka hadi Moshi kujitambulisha. Baadaye kidogo jini mkata kamba akapita na pete kidoleni ikavuliwa kuashiria,it's end over (kwa sauti ya Kinata Mc😁)

Sababu hasa za wawili hawa kubwagana hazikuwahi kujulikana,ila hii leo November 1,Mau Sama akiwa kwenye leo tena ya Clouds Fm amedai aliamua kutemana na mzungu sababu jamaa alitaka Maua aache muziki kisha aende ughaibuni kuwa wife material kitu ambacho Maua amedai ni maamuzi magumu ambayo hasingeweza kuyafanya hivyo akaona bora kuyabwaga tu.

@mauasama hii leo pia ameanzisha challenge ya Zai ambapo atayefanya clip bora kuliko wengine basi atajizawadia zawadi. Cha kufanya jirekodi video clip ukifanya matashititi ya Zai kisha post ukimtag naye bila hiyana atapitia.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad