Maskini French Montana Afunguka Alivyoumwa na Kupoteza Kumbu Kumbu "Nilipoteza Marafiki"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Rapa French Montana Atangaza Kuachia Album Yake Mpya “THEY GOT AMNESIA” Ambayo Ni Ya 4 Na Itatoka Novemba 12 Mwaka Huu

Kupitia Ukurasa Wake Wa Instagram Amethibitisha Hilo Kwa Kuandika Ujumbe Wa Historia Yake Miaka 2 Iliyopita Akisema

✍“(THEY GOT AMNESIA) Albamu novemba 12. Niko na furaha kuwapa story yangu. Miaka miwili iliyopita siku kama hii nilikuwa ICU(Chumba cha mahututi) kupigania maisha yangu. Nilipoteza kumbukumbu zote, nilipoteza marafiki, nilipoteza matumaini, nilipoteza karibu kila kitu. Na mwishoni kabisa nikagundua sina vyote ila nimebaki ni Mungu tu alie mkuu. Akanishika mkono, akanipa matumaini tena. Wakati najaribu kurudi kwenye game, walinihesabu kuwa nimeisha kabisa, na wakasahau kila kitu tulichokifanya pamoja. Siku ya 730 sasa, “THEY GOT AMNESIA” albamu Itatoka Novemba 12” -French Montana


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad