Michepuko Kenya Ndio Basi Tena Rais Asign Muswada wa Kutowatambua Kwenye Muradhi Pale Mume Anapofariki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ametia saini Muswada wa Sheria ambao utazuia Wanawake ambao hawakuwa ndani ya ndoa yaani Michepuko (Mipango ya Kando) kutopata mirathi kutoka kwa Wapenzi wao pale wanapofariki.

Sheria hiyo inawataja wanaopaswa kupewa mirathi kuwa Mke rasmi anayetambulika, Watoto na wengine ambao wametajwa kwenye Sheria.

Lengo la Sheria hiyo ni kuzuia migogoro ya mara kwa mara inayotokea pale Mtu anapofariki ambapo wakati mwingine Wanawake zaidi ya watano wote hupambania mirathi.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad