AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hatimaye klabu ya Manchester United imefanya maamuzi ya kuachana na kocha wake Ole Gunnar Solskjaer baada ya timu hiyo kupokea kichapo cha kushtukiza cha mabao 4-1, kwenye mechi ya Ligi Kuu England iliyochezwa jana Jumamosi.
Kwa mujibu wa Sky Sports, baada ya kipigo hicho cha kushtua, bodi ya Man United iliitisha kikao cha dharura kujadili hatima ya Solskjaer ambapo bodi hiyo ilifika makubaliano ya Solskjaer kutimuliwa kazi haraka iwezekanavyo.
Man United imefungwa mechi saba katika mechi 13 walizocheza msimu huu, rekodi mbovu chini ya kocha huyo raia wa Norway.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK