AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kipindi tunakuwa pale Kijenge ya juu opposite na shule ya msingi ya Kijenge ( wanaopajua pande hizo weka ♥️ kwenye comment ) sasa je Mzee Mdee alikuwa haturuhusu kutoka nyumbani kwenda popote zaidi ya shuleni, kanisani na sehemu atakazotupeleka kula ka outing kama pale AICC Club, mpo? Sasa nyumbani kwetu sisi tulikuwa watu wa kuji entertain basi ikitoka music video mpya tulikuwa tukikariri ma dance moves na kusherehesha wageni pale kibarazani kwetu, na amini ndipo nilipoanza kujifunza kuwa mtumbuizaji nikiwa na ndugu zangu tukijikuta Spice girls, Destiny’s Child, TLC 😂 mpo @mimi_mvrs11 @meerah_ashash
Basi Maria wenu kanitembelea huku na some things never change. Nifuraha ku danseee leo na mwanangu Seven na kipenzi changu @mimi_mvrs11 tupeni marks basi. So happy you’re here Mayaan wangu
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK