Watu 690 wauawa Simiyu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Watu 690 wameripotiwa kuuawa kwa kukatwa mapanga katika mkoa wa Simiyu, wengi wao wakiwa ni wanawake, hii ni kutokana na taarifa ya Jeshi la Polisi mkoani humo.


Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai wa Jeshi la Polisi mkoa wa Simiyu (RCO), Mrakibu Mwandamizi wa jeshi hilo, Israel Makongo, amewaambia wajumbe wa baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Itilima mkoani humo kuwa, mauaji ya watu hao yamefanyika kuanzia mwaka 2012 hadi mwaka huu 2021.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad