Popo wa New Zealand ashinda tuzo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Popo mmoja ametajwa kuwa ndiye ndege wa mwaka wa New Zealand, katika hali ya kutatanisha ambayo imesababisha lalama kali mitandaoni nchini humo.



Popo mwenye mkia mrefu alikuwa amejitosa na kutwaa taji hilo kufuatia kura ya mtandaoni.

Waandalizi wa shindano hilo walikuwa wamejumuisha popo, mmoja wa mamalia wachache wa asili wanaoishi nchi kavu, ili kuinua hadhi yake kama spishi iliyo hatarini kutoweka.

Lakini ushindi huo umewaudhi baadhi ya watu,.

Wapenzi wa ndege waliokasirika walilalamika kwenye Twitter, wakiita ushindi huo kama “mchezo “, “uchaguzi ulioibiwa”, pamoja na maneno mengine yasiyoweza kuchapishwa.

Wengine kwenye mitandao ya kijamii pia waliona kuwa ni ushindi unaohitajika sana wa mahusiano ya umma kwa popo, baada miaka miwili yenye changamoto.

Lakini kikundi cha mazingira cha Forest and Bird, ambacho huandaa shindano hilo kila mwaka, kilisema kujumuishwa kwa popo sio dhamira ya kurejesha hadhi ama sifa za mnyama huyo kutokana na janga la corona


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad