Ajitokeza kuitapeli familia ya mtoto aliyefufuka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Siku chache baada ya mama aliyefiwa na mtoto mwaka 2017 na baadaye kupatikana akiwa hai mkazi wa kijiji cha Ngemo, mkoani Geita, tapeli ameibuka kwa mama huyo na kuomba Mil.3 anazodai kuwa ameagizwa na mkuu wa wilaya kama kulipwa fidia baada ya kusimamia zoezi la ufukuaji wa kaburi.
Tapeli huyo aliyejitokeza kwenye familia hiyo anafahamika kwa jina la Charles Christopher, ambapo ndugu wameeleza kwamba alijifanya Afisa Upelelezi kutoka wilayani na kudai malipo hayo.

Akizungumza mtuhumiwa wa tukio hilo la utapeli amesema alifika nyumbani hapo baada ya kusikia limetokea tatizo hivyo aliwashauri hiyo milioni 3 itumike kwa ajili ya kwenda kwa mganga kumuagua mtoto huyo
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad