FIFA Kujadili Uwezekano wa Kubadili Muda wa Kufanyika Kombe la Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Shirikisho la Soka Duniani linaongoza kikao kwa njia ya mtandao kinacholenga kujadili uwezekano wa kipindi cha kufanyika kwa Kombe la Dunia, kubadilishwa kutoka kila baada ya Miaka minne hadi Miaka miwili

Wakuu wa Soka kutoka Nchi 211 wanashiriki katika mkutano huo, utakaoongozwa na Rais wa FIFA, Gianni Infatino

CAF imesema inaunga mkono mabadiliko hayo, lakini Mashirikisho ya Soka Barani Ulaya na Kusini mwa #America, yanapinga yakidai mpango huo utarudisha nyuma maendeleo ya soka na kuathiri Mashindano.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad