AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shirikisho la Soka Duniani linaongoza kikao kwa njia ya mtandao kinacholenga kujadili uwezekano wa kipindi cha kufanyika kwa Kombe la Dunia, kubadilishwa kutoka kila baada ya Miaka minne hadi Miaka miwili
Wakuu wa Soka kutoka Nchi 211 wanashiriki katika mkutano huo, utakaoongozwa na Rais wa FIFA, Gianni Infatino
CAF imesema inaunga mkono mabadiliko hayo, lakini Mashirikisho ya Soka Barani Ulaya na Kusini mwa #America, yanapinga yakidai mpango huo utarudisha nyuma maendeleo ya soka na kuathiri Mashindano.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK