AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kocha wa Al Ahly 🇪🇬 Pitso Mosimane amkingia kifua nyota huyo aliyeng’ara Tanzania 🇹🇿 kwa kiwango bora. Kwenye mkutano na wanahabari baada ya mchezo Al Ahly 3 – 2 Al Ghazl, Pitso alishindwa kujizuia na kupandwa na hasira alipoulizwa swali na mwandishi wa habari kuhusu kiwango cha Luis.
Mwandishi alitaka kujua kwa nini hamchezeshi kijana mdogo (Mzawa) ambaye ana kiwango bora zaidi kuliko Luis?
“Kwa hiyo unataka Luis asicheze? Kwa nini asicheze, mbona Wachezaji wengine hujauliza, kwa nini Luis ?”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK