Senzo Avunja Mzizi wa Fitina Kuhusu Yanga Kumsajili Chama

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mchezaji anayetajwa ana mkataba na klabu yake [RS Berkane] tunaiheshimu klabu yake kwa hiyo hatuwezi kuzungumzia mchezaji wa timu nyingine. Tunaangalia ni mchezaji gani tunaweza kumsajili kabla ya kufungwa kwa dirisha dogo.

Yanga tunajivunia wachezaji tulionao kwa sasa, dirisha dogo lipo wazi hivyo tutaangalia wachezaji tunaowahitaji kama wapo tutazungumza nao.

- Senzo Mbatha [@football_senzo] kuhusu Yanga kuhusishwa kutaka kumsajili Clatous Chama.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad