Staa wa Muziki wa Bongo Fleva Nandy Amewatupia Lawama Waandaaji wa Tuzo za Afrima2021

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Staa wa muziki wa Bongo Fleva @officialnandy amewatupia lawama waandaaji wa tuzo za #Afrima2021 kuwa hawakuwajali kama ilivyotakiwa kwenye utoaji wa tuzo hizo

Nandy anasema kuwa alikutana na @officialzuchu kwenye ndege na walikaa siti moja na Zuchu alikua akikosoa pia mapungufu makubwa yaliyojitokeza kwenye tuzo hizo

Nandy ameshauri kurudi kwa tuzo za Tanzania ili kuacha kutegemea tuzo za nje ya Tanzania kwani kwa namna moja ama nyingine zinashusha wasanii

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad