AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Staa wa muziki wa Bongo Fleva @officialnandy amewatupia lawama waandaaji wa tuzo za #Afrima2021 kuwa hawakuwajali kama ilivyotakiwa kwenye utoaji wa tuzo hizo
Nandy anasema kuwa alikutana na @officialzuchu kwenye ndege na walikaa siti moja na Zuchu alikua akikosoa pia mapungufu makubwa yaliyojitokeza kwenye tuzo hizo
Nandy ameshauri kurudi kwa tuzo za Tanzania ili kuacha kutegemea tuzo za nje ya Tanzania kwani kwa namna moja ama nyingine zinashusha wasanii
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK