Ufafanuzi wa Kocha PABLO Kumsukuma Mchezaji Wake Wawa...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



🔴Nimepata wasaa wa kuzungumza na mmoja wa Makocha kwenye bench la Simba kuhusu tukio la Wawa uwanjani leo dhidi ya Coach Pablo

🔴Utaratibu wa Substitutes ni tano ila mikupuo ni mitatu ambayo Kila ukitoa Mchezaji au wachezaji kwa mara moja inahesabika kama MOJA

🔴Simba walifanya sub mbili za kwanza, aliingia Hassan Dilunga na Yusuph Mhilu, huu ulikuwa mkupuo wa kwanza, ikasalia miwili

🔴Mkupuo wa pili Coach alitaka aiingie Pascal Wawa na Jimson Mwanuke, Fourth Official alipewa majina lakini akaingiza Mchezaji mmoja tu ambaye ni Jimson

🔴Alisalia nje Pascal Wawa ila kumbuka tayari hapo inahesabika mikupuo miwili kwakuwa tayari kaingia Mwanuke, hivyo angeingia Wawa maana yake SUB zitakuwa zimekwisha

🔴Hivyo Kocha Pablo alipogundua Hilo akalazamika kukimbilia kwenye touchline kuzuia Wawa asiingie huku akiita Mchezaji mwingine aje Ili waingie wote kufanya mikupuo mitatu kwa sub zote tano

🔴Kocha Mkuu, Meneja na Matola wote walikuwa wanamlaumu Fourth Official huku Coach ikamlazimu kumwambia Wawa arejee bench mpaka watakapokuwa wawili waingie wote

🔴Baadae akaingia Abdulswamadu, Ili kukamilisha mikupuo mitatu kwa SUB nne! Hivyo Coach alikuwa anahakikisha Hilo na temper ilipanda sio kwa Wawa bali Waamuzi

🔴Kuhusu kumsukuma Mchezaji wake sio issue sana na ndio maana hata Wawa alikuwa kawaida na hakuonekana kumind kwakuwa alijua walokosea ni Fourth Official

🔴Wala sio issue kubwa


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad