Davido Aanika Ndinga Yake Mpya ya Tsh Bilioni 1.27, Inakuja!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





MWANAMUZIKI kutoka nchini, Nigeria David Adeleke Adeleji maarufu Davido jana Januari 20, 2022 kupitia ukurasa wake wa twitter ameposti gari lake jipya aina ya LAMBORGHINI AVENTADOR likiwa njiani kuelekea nchini Nigeria.

Davido alinunua gari hilo ikiwa ni zawadi yake ya Krisimasi, mwezi Desemba mwaka jana kwa thamani ya dola za Kimarekani 550,000 (sawa na Tsh bilioni 1.270) ambayo kwa sasa iko njiani kuelekea nchini Nigeria.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad