AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mhitimu wa kidato cha nne mwaka 2021 Shule ya Sekondari Serengeti mkoani Mara Lucas Thomas(17) amekutwa amejinyonga katika kijiji cha Buhemba wilayani Butiama baada ya kuaga anaenda shambani kuvuna mahindi na matunda.Katika matokeo yaliyotangazwa juzi Lucas amepata Division Two ya Point 21
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK