Mwanamuziki Kaligraph Jones Kurejea Shuleni, Afunguka Kuhusu Maisha Magumu Kuzima Ndoto zake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Rapa nyota wa mziki wa kufokafoka, Khaligraph Jones amefichua mipango ya kurejea darasani kuendela na masomo yake baada ya kumaliza Kidato cha nne miaka mingi iliyopita.


Msanii huyo ambaye hutambulika kwa msemo wa ‘Respect The OG’ alifichua kuwa anapania kurejea shuleni ili kusomea sheria na katiba kwa kuwa ana mipango ya kujishughulisha na mambo tofauti mwaka 2027 baada ya kumaliza kozi hiyo.


Katika mahojiano ya awali, Khaligraph alifichua kuwa maisha yake ya utotoni yalikuwa magumu na hivyo kumzuia kujiunga na chuo kikuu baada ya kumaliza masomo yake ya sekondari.


Wakati huo huo rapa Jones, kupitia ukurasa wake wa Instagram, amefichua kuwa ataachia kibao chake kipya cha injili ‘Sifu Bwana’ siku ya Ijumaa, Januari 21, 2022, baada ya video fupi inayomuonyesha akirap wimbo huo kusambaa na kupokelewa vyema na mashabiki wake.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad