Nikome!Aliyekuwa mpenzi wake Harmonize Frida Kajala amuonya Ringtone dhidi ya kumtumia jumbe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Aliyekuwa mpenzi wake Harmonize, Frida Kajala kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram  amemuonya msanii wa nyimbo za injili nchini Ringtone dhidi ya kumtumia jumbe.

Kulingana na Kajala Ringtone amekuwa akimtumia jumbe pamoja na mwanawe Paula Kajala.

"Nikome kunitumia messages na kumtumia mwanangu Paula Kajala. Wanaume wa Kenya sijui ni nini mbaya na nyinyi," Frida Alisema.

Kajala amekuwa akigonga vichwa vya habari kuanzia mwaka jana baada ya kutangaza wazi kuwa ni mpenziwe Harmonize, ambapo uhusiano wao ulizua hisia tofauti mitandaoni, huku wawili hao wakiachana.

Wawili hao wanaonekana kila mmoja kuendelea na maisha yake baada ya kuachana.

Hii sio mara ya kwanza Ringtone kuwatamani watu maarufu wenzake, bai wamekuwa wakimkataa.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad