Polisi Wakesha Kulinda Nyumba ya Mchezaji Isichomwe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Polisi mijini Free Town nchini Siera-Leone wamekesha kulinda nyumba ya mshambuliaji wa timu ya Taifa ya nchi hiyo Kei Kamara aliekosa penati kwenye mchezo dhidi ya Equatorial Guinea.

Mashabiki hao walitaka kuichoma moto nyumba hiyo kwasababu tu mchezaji huyo alikosa penati na kusababisha timu yao ya Taifa kutolewa kwenye michuano ya AFCON huko nchini Cameroon.

Katika mchezo huo Sierra Leone walihitaji anagalau sare kuweza kufuzu kwa hatua ya 16 bora.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad