Serikali yaanza mchakato wa kuajiri walimu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Waziri wa TAMISEMI Mh. Innocent Bashungwa ameonesha kuridhishwa na uandikishwaji na kuripoti kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza ambapo pia amesema Serikali imeanza mchakato wa kuajiri walimu na kuongeza matundu ya vyoo katika shule za umma.

Waziri Bashungwa ameyasema hayo akiwa katika ziara ya kutembelea shule ya Sekondari ya Chamwino iliyopo wilayani Chamwino, mkoani Dodoma. 

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad