AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri wa TAMISEMI Mh. Innocent Bashungwa ameonesha kuridhishwa na uandikishwaji na kuripoti kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza ambapo pia amesema Serikali imeanza mchakato wa kuajiri walimu na kuongeza matundu ya vyoo katika shule za umma.
Waziri Bashungwa ameyasema hayo akiwa katika ziara ya kutembelea shule ya Sekondari ya Chamwino iliyopo wilayani Chamwino, mkoani Dodoma.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK