AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanafunzi wa Darasa la Nne Shule ya Msingi Tutuo, Sikonge Mkoani humo, Maria Kazungu (13) ameuawa alipoenda kisimani kuchota maji. Mbali na sehemu za siri kunyofolewa, masikio yake yalikuwa yametobolewa na kitu chenye ncha kali
Matukio ya mauaji yameonekana kuongezeka kwa kasi Nchini. Wizara ya Mambo ya Ndani imeunda Kamati kuchunguza sababu za ongezeko la matukio hayo
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK