AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa #Ukraine, Volodymyr Zelensky amewahamasisha Raia kuwa tayari kupigania Nchi yao, na kusema silaha zitatolewa mtu yeyote anayetaka kushiriki katika vita dhidi ya Urusi
Kufuatia uamuzi wa Urusi kuvamia Ardhi yake, #Ukraine imekatiza rasmi uhusiano wake wa Kidiplomasia na Taifa hilo. Picha kadhaa za Mitandaoni hivi karibuni zilionesha Raia wa Ukraine wakipewa Mafunzo ya Msingi ya Kijeshi taharuki ya mzozo huo ilipopanda
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK