Askari Anayemlinda Mwekezaji Adaiwa Kumuua Raia Kwa Risasi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Cosmas Hamis Kusililwa (25) aliyekuwa akichimba Madini Kijiji cha Mwang’holo, anadaiwa kuuawa kwa kupigwa risasi na Askari Polisi wanaolinda eneo la Kampuni ya El-Hillal Minerals Ltd

Tukio hilo lilitokea Machi 10, 2022 wakati Cosmas akiwa nje ya eneo la Mwekezaji huyo na Wachimbaji wengi wadogowadogo. Kamanda ACP George Kyando amesema uchunguzi wa tukio hilo unaendelea huku mtuhumiwa a

kiwa anaendelea na shughuli zake na kuwataka Wananchi kutojichukuliwa Sheria Mkononi


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad