AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Big Brother, msanii Dully Sykes amekoshwa na EP ya @diamondplatnumz "First Of All" yenye jumla ya ngoma 10. Amebainisha kuwa EP hiyo ni kiboko.
@princedullysykes ameeleza hayo kupitia insta story yake, "Nimeisikiliza #FOA ya Diamond Platnumz... Kiboko!! 🔥🔥💪".
Ikumbukwe EP ya Diamond namba zake sio za mchezo mchezo tangu ipakiwe kupitia Digital Platforms mbalimbali. Diamond aliachia rasmi EP hiyo Machi 11.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK