Kamanda wa Jeshi Urusi Auawa Vitani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ukraine imedai leo kuwa vikosi vyake vimemuua kwa kumpiga risasi Kamanda wa Jeshi la Maji wa Urusi, Andrey Paliy (51), tukio ambalo linatajwa kuwa pigo kubwa kwa vikosi vya Rais Vladimir Putin.

Paliy anatajwa kuwa ndiye afisa mkuu pekee wa jeshi la wanamaji anayedaiwa kuuawa katika vita nchini Ukraine, ingawa Kyiv inadai kuwaua majenerali watano wa jeshi hilo mpaka sasa.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad