AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ukraine imedai leo kuwa vikosi vyake vimemuua kwa kumpiga risasi Kamanda wa Jeshi la Maji wa Urusi, Andrey Paliy (51), tukio ambalo linatajwa kuwa pigo kubwa kwa vikosi vya Rais Vladimir Putin.
Paliy anatajwa kuwa ndiye afisa mkuu pekee wa jeshi la wanamaji anayedaiwa kuuawa katika vita nchini Ukraine, ingawa Kyiv inadai kuwaua majenerali watano wa jeshi hilo mpaka sasa.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK