Mamake Will Smith: 'Hiyo ndiyo mara yangu ya kwanza kumwona akiwa na hasira hivyo'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Carolyn Smith, mamake Will Smith, amesema walikuwa wamekusanyika pamoja na familia nyumbani kwake viungani mwa Philadelphia Jumapili usiku, akifurahi kumtazama mwanawe kwenye tuzo za Academy.

Alikuwa na furaha kupindukia baada ya mwanawe mwigizaji kupata tuzo yake ya kwanza ya Oscar lakini alishtushka baada ya kumuona Will Smith akimpiga mchekeshaji Chris Rock.

"Yeye ni mtu mwenye anayependa usawa," alisema.

"Ndiyo mara ya kwanza nimewahi kumuona akiwa na hasira kiasi hiki. Mara ya kwanza katika maisha yake."


 
Nyota huyo aligonga mwamba baada ya kufanya mzaha kuhusu mke wa Smith, Jada Pinkett Smith aliyenyolewa kichwa.

Ellen Smith, dadake Will Smith, alizungumza na kituo hicho kuhusu shinikizo analopitia kaka yake kama mtu mashuhuri.

"Kila mtu ameonewa au kunyanyaswa kwa namna fulani," alisema. Ninaelewa kabisa."


Carolyn Smith alisema ushindi wa mwanawe siku ya Jumapili ulikuwa kilele cha miaka ya matumaini na bidii ya mwigizaji huyo.

"Nimekuwa nikingoja na kusubiri na kusubiri, alisema. Niliposikia jina, nilikuwa tu nasema, Ndiyo!"

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad