AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu wa idara ya ujasusi ya Ukraine ameonya kuwa Urusi ina njama za kutumia “mbinu za Korea” kwa Ukraine hii ni baada ya kushindwa kuuteka mji mkuu na kuiangusha serikali halali iliyo madarakani.
Mkuu huyo wa idara ya ujasusi Jenerali Kyrylo Budanov anasema Urusi inanjama za kuigawanya Ukraine kama vile Korea ilivyogawanyika na kuzaa mataifa mawili ya Korea Kaskazini na Korea Kusini.
Jenerali Budanov anasema baada ya mshambulizi ya Urusi kushindwa kupata matokeo waliotarajia sasa Rais Vladimir Putin analenga maeneo yalio mashariki pamoja na yale ya kusini mwa Ukraine .
‘Anasema ikiwa Putin atafaulu kuunganisha maeneo hayo mawili basi huenda akajaribu kuchora mpaka wa kuimega sehemu hiyo kutoka kwa Ukraine -kwa kiasi fulani ni kama vile ilivyotokea baada ya vita vya Korea.
Vita hivyo vilizaa Korea Kaskazini na Korea Kusini Lakini Jenerali Budanov anasema mpango huo wa Urusi kamwe hautafaulu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK