Paula Aanza Vijembe "Kwangu Habanduki Kwako Hatoboki…Jamani Wambeya Habari zenu Muwe na Siku Njema“

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


PAULA Kajala @therealpaulahkajala ; ni binti wa mwigizaji wa Bongo Movies, Kajala Masanja au Frida na prodyuza wa Bongo Records, P Funk Majani ambaye kwa sasa yupo masomoni nchini Uturuki akisomea masomo ya uuguzi.


Paula amekuwa maarufu zaidi baada ya kujulikana anatoka kimapenzi na staa wa Bongo Fleva, Rayvanny @rayvanny akimpokonya Fayhma tonge mdomoni.


Amekuwa akiwarushia vijembe watu wanaomsakama kwamba alimchukulia Fayhma mtu wake ambapo safari hii amerusha kijembe kingine akimaanisha kwamba mwanaume wake hawezi kubanduka kwake.

Kupitia Insta Story yake, Paula ameandika; “Kwangu habanduki kwako hatoboki…jamani wambeya habari zenu muwe na siku njema. “
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad