AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
NAIBU Rais William Ruto, ndiye mgombea urais wa chama cha United Democratic Alliance baada ya Baraza Kuu la Kitaifa (NEC) kumhoji na kupata amehitimu.
Baraza hilo lilikuwa limealika wanaomezea tiketi ya urais ya chama hicho kwa mahojiano kukagua ufaafu wao.
Baraza hilo lilikataa maombi ya wawaniaji wawili Bi Tracy Wanjiru, 23 na Orina Nyamwama kwa kutotimiza mahitaji ya kisheria na kanuni za chama.
Kulingana na Mwenyekiti wa bodi ya uchaguzi ya UDA, Bi Wanjiru hakutimiza hitaji la kuwa na digrii naye Bw Orina hakuweza kulipa ada ya uteuzi iliyowekwa na chama.
Kutemwa kwa wawili hao kumemuacha Dkt Ruto mgombeaji urais wa pekee katika muungano wa Kenya Kwanza.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK