Timu ya Simba Imeshika Nafasi ya 98 kwa Ubora wa Vilabu Duniani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mabingwa wa Tanzania Simba Sc wameshika nafasi ya 98 kwa ubora wa vilabu duniani ikiwa na alama 137.5

Taarifa hii ni Kwa mujibu wa ripoti ya mwaka 2021 ya shirika la IFFSH (linalotambuliwa na FIFA), shirika ambalo limekuwa likifanya tafiti na tathimini za masuala mbalimbali ya soka Duniani

Simba SC imeshika nafasi ya 98 kidunia kwa ubora wa vilabu ikiwa na alama 137.5 wakifungana na Rijeka ya Croatia.

Katika Mwaka 2020 Simba walikuwa nafasi ya 361 na sasa wamepanda hadi 98 katika ripoti ya shirika hilo

Katika Ripoti hiyo Klabu inayoongoza ni SE Palmeiras ya Brazil na Club Atletico Mineiro ya Brazil pia

Nafasi ya Tatu inashikwa na Manchester City na nafasi ya nne ni Chelsea zote za England

Cc @exaud_msaka_habari✍

#DizzimTv #DizzimUpdates #DizzimSports
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad