AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wizara ya Afya imesema kuanzia Februari 5, 2022 hadi Machi 4, 2022 kumekuwa na visa vipya 290 vya COVID-19, huku Dar es Salaam ikiongoza kwa kuwa na Wagonjwa 175.
Katika kipindi hicho Wagonjwa 136 walilazwa ambapo 128 kati yao hawakuwa wamepata chanjo dhidi ya Virusi vya Corona, huku Vifo vikiwa nane.
Serikali imesema hadi sasa watu 2,664,373 wamepata Dozi kamili ya kujikinga na Virusi vya Corona.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK