Museven Aagiza Wanaosema Spika Alipewa Sumu Wakamatwe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Rais wa Uganda, Yoweri Museveni ametoa amri kwa Polisi kufuatilia wanaoandika kwenye Mitandao ya Kijamii kuwa Spika wa Bunge la Uganda, Jacob Oulanyah alifariki baada ya kupewa sumu, wakamatwe ili watoe ufafanuzi wa wanachokiandika

Pamoja na kauli hiyo Familia ya Marehemu imeshikilia msimamo wake kuwa Oulanyah ambaye alifariki Machi 19, 2022 akiwa kwenye matibabu Marekani baada ya kutibiwa katika hospitali tofauti nchini #Uganda na Kenya bila mafanikio na alifariki kwa kupewa sumu

Aidha, Naibu Mwenyekiti wa Chama kinachotawala cha National Resistance Movement (NRM), Godfrey Kiwanda amesema Marehemu alimjulisha wakati anaumwa kuwa alipewa sumu muda mfupi baada ya kushinda Uchaguzi wa Spika Mei, 2021


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad