Mwigizaji Nguli wa Nigeria Rita Dominic Afunguka Ndoa Akiwa na Miaka 46

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mashabiki wa filamu nchini Nigeria wametumia mitandao ya kijamii kumpongeza msanii wa Nollywood, Rita Dominic, katika siku yake ya harusi.

Picha katika mtandao wa Instagram zinamuonyesha bibi harusi Rita Dominic akiwa amevalia mavazi ya kitamaduni ya Kiigbo kabla ya sherehe hiyo.

Baadhi waliandika "Hongera Rita Dominic. Utoto wangu ulikuwa unafuraha nikikuona kwenye televisheni Mungu abariki ndoa yako”

"Upendo wa kweli kamwe hauchelewi”

Dominic, 46, ni mkongwe wa tasnia ya filamu nchini Nigeria na ameigiza katika filamu nyingi maarufu

Harusi hiyo imehudhuriwa na waigizaji wenzake kadhaa wakiwemo Joke Silva, Uche Jombo, Kate Henshaw na Ini Edo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad