Mwimbaji wa nyimbo za injili toka Kenya, Ringtone Apoko Alikashifu Tamasha la Nyashinski

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwimbaji wa nyimbo za injili toka Kenya, Ringtone Apoko amekashifu tamasha aliloandaa mwanamuziki Nyashinski katika uwanja wa Carnivore huko Nairobi, akisema ulikuwa mkutano wa uzinzi.

Ringtone kupitia ukurasa wake wa Instagram, ame-share video ambayo inamuonyesha akitumbuiza mbele ya watoto na kwenye maelezo yake akaandika, “Tumejitolea kuwekeza katika vizazi vijavyo na Nyashinski anang’ang’ana kusaidia watu kuzini. Aibu kwako kwa tamasha lililojawa mapepo huko Carnivore.”

Tamasha la Nyashinski lililoitwa “Shin City” liliandaliwa usiku wa Jumamosi, Aprili 16 mwaka huu katika uwanja wa Carnivore jijini Nairobi.

Kabla ya kuanza kwa tamasha hilo, Nyashiski alitangaza kwamba tiketi zilikuwa zimeuzwa zote. Tamasha la Shin City lilipewa nguvu na kampuni ya kutengeneza pombe ya Kenya Breweries Limited (KBL), kupitia vinywaji vya Tusker na Johnnie Walker.

SNS

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad