AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shughuli za uokoaji zikiendelea katika eneo la Machimbo ya Mawe Kikikaka, Mji Mwema Kigamboni baada ya watu kufukiwa na kifusi, huku takribani watu watatu wakipoteza maisha.
Ayo Tv imefika eneo la tukio na kushuhudia shughuli za uokoaji zikiendelea, huku Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Fatmah Nyangasa akiwa kipaumbele kusimamia zoezi hilo.
Kwa mujibu wa baadhi ya mashuhuda ni kwamba tukio hilo lilitokea asubuhi ya leo April 3, 2022 wakati watu hao wakiendelea na shughuli za uchimbaji wa Mawe.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK